Friday, December 12, 2014

Posted on 8:49 AM by Unknown

No comments


Posted on 8:25 AM by Unknown

No comments

https://mkito.com/song/mwanakondoo-ft-stamina-maundo-zoro-walter-chilambo/7982/bwi-1-13042

Posted on 8:14 AM by Unknown

No comments

Most Expensive Homes Of Football Superstars [PHOTOS]

Ni kawaida kwa mastaa wakubwa ambao wanacheza soka la kulipwa barani ulaya kuwa na majumba ya kifahari yenye gharama kubwa sana sasa hii ni list ya mastaa wanaongoza kuwa na majumba ya kifahari kwa upande wa wanamichoze wa mpira wa miguu 

 1. David Beckham ambaye anamiliki mjengo wenye thamani ya dola $20            million  2. Wayne Rooney yeye nyumba yake ina thamani ya dola za kimarekani              $17.83 million  3. Didier Drogba yeye anamiliki nyumba yenye thamani ya dola za                      kimarekani $9 million  4. John Terry mchezaji wa chelsea anayemiliki nyumba yenye thamani ya             dola za kimarekani $7.5 million  5. Frank Lampard yeye anamiliki mjengo wenye thamani ya dola za                     kimarekani   $7 million 
 Most Expensive Homes Of Football Superstars [PHOTOS]   

Most Expensive Homes Of Football Superstars [PHOTOS]   
Most Expensive Homes Of Football Superstars [PHOTOS]

Posted on 8:02 AM by Unknown

No comments

Tonino Lamborghini 88 Tauri


Kampuni ya magari ya Lamborghini imekuja na Teknolojia mpya za simu za smartphone na zinajulikana kwa jina la Lamborghini la 88 Tauri ambayo itakuwa ikiizwa kwa dola 6000$ sawa na Million 9.6 za Kitanzania 

Hizi ni baadhi ya vitu vilivyomo huko ndani ya simu hiyo 

Display5.00-inch

Processor2.3GHz

Front Camera 8-megapixel

Resolution 1080x1920 pixels

RAM 3GB

OS Android

Storage

Rear Camera20-megapixel

Battery capacity 3400mAh


Tonino Lamborghini 88 Tauri   


Tonino Lamborghini 88 Tauri

Posted on 7:56 AM by Unknown

No comments



Mwanamke mmoja mwenye umri wa miaka 32 ambaye ni mzaliwa kutoka South Africanameingia kwenye list ya Mamillionare wanaishi South baada ya biashara yake ya kuwfanyia Massage kwa Kutumia Matiti yake ambapo kila wiki anawezo wa kuinginza zaidi ya  Mamillion,Na watu wameonekana kuikubali sana biashara yake na kufikia hatua ya kuja karibu kila siku ili kupata huduma ya mwanamke huyo

Unaambiwa kwa kila dakika 15 ambazo anatumia kufanya massage anakuchaji kati ya  300 – 500 Rands ambayo ni pesa ya South sawa na 50000-70000 za kitanzania 


Big Girl 3 


Big Girl 2

Posted on 7:48 AM by Unknown

No comments

MwanaFA Ft Ali Kiba 'Kiboko Yangu'

Hit maker wa single ya Kiboko Changu aliyomshirikisha Ali Kiba,Hamisi Mwinjuma ama Mwana FA yuko anafanya video ya single yake mpya inayokwenda kwa jina la ‘Kiboko Yangu’ nifanikiwa kuapata picha takribani tano wakioneka wakiwa location wakishoot video hiyo ambayo itatoka hivi karibuni na utaanza kuiona kwenye TV station mbalimbali

MwanaFA Ft Ali Kiba 'Kiboko Yangu'

.
MwanaFA Ft Ali Kiba 'Kiboko Yangu'

.
MwanaFA Ft Ali Kiba 'Kiboko Yangu'

.
MwanaFA Ft Ali Kiba 'Kiboko Yangu'


MwanaFA Ft Ali Kiba 'Kiboko Yangu'

Posted on 7:40 AM by Unknown

No comments

K Lyn (Jacqueline Ntuyabaliwe)






Tajiri anayeshika nafasi ya pili hapa Tanzania Mh Reginald Mengi amemchumbia aliewahi kuwa Miss Tanzania Jacqueline Ntuyabaliwe (Klyn)


Tukio hilo lilitokea katika siku ya birthday ya Jack ambayo ilifanyika huko Dubai hapo ndi Mh Mengi alipoamua kumvisha pete mchumba wake huyo ambaye mpaka sasa wana watoto wa wawili ambao ni mapacha,Naye Jack alipoulizwa na Mheshimiwa huyo Will you "Marry Me" naye akajibu "I Do"



K Lyn (Jacqueline Ntuyabaliwe)



Kila la Kheri kwenu Mr&Mrs Mengi.....

Posted on 7:11 AM by Unknown

No comments


Mrembo Nancy Sumari amekua na safari za mahala tofauti ,na katika miji mikubwa duniani.Familia inayoundwa na watu watatu,mume ,mtoto (3) Zuri, na Nancy Sumari mwenyewe.safari hii walitumia muda wao kutembelea mji maarufu nchini Ufaransa,Paris.shusha chini tazama jinsi furaha ilivyojengwa zaidi na wapendanao hawa!
























Posted on 6:49 AM by Unknown

No comments

Hemedi wa PHD atupia Instagram picha4 mpya akimtambulisha manzi wake ziangalie hapa 


List ya wasanii ambayo wanaendelea kuwatambulisha wapenzi wao inaendelea kuwa kubwa kila kukicha sasa ni zamu ya Hemed PHD ambaye kirefu cha jina lake ni Hemedy Prety Huge Dude kupitia akunti yake ya Insta Amentambulisha Mpenzi wake ambapo alifuatia na meseji ya kimahaba ambayo ni maluumu kwa mrembo huyo 

Hemedi wa PHD atupia Instagram picha4 mpya akimtambulisha manzi wake ziangalie hapa



Hemedi wa PHD atupia Instagram picha4 mpya akimtambulisha manzi wake ziangalie hapa 


Hemedi wa PHD atupia Instagram picha4 mpya akimtambulisha manzi wake ziangalie hapa

Posted on 6:29 AM by Unknown

No comments

matako makubwa

Ana umri wa miaka 27 na jina lake halisi ni Alexandra Harra kutoka Roma amabye amejizolea umaarufu kutoka na shepu yake kama ya Kim Kardishian ambaye kwa mujibu wa jarida moja nchini roma ana tako lenye ukubwa wa 109 zikiwa ni sentimeta (42ins) wakati la Kim Kardashian lina ukubwa wa sentimeta 101
 (39ins)

Licha ya mrembo huyo kuwa na shepu nzuri lakin naye ni tajiri vile vile amiliki magari ya kifahari kama Mercedes S 550 2015 model ambayo ina thamani ya Euro £95,000 pamoja na Mercedes CLS 550 yenye thamani £63,000

matako makubwa


matako makubwa

matako makubwa

Posted on 6:09 AM by Unknown

No comments

davidos ex girlfriend nish kards  



Nadhani utakuwa unamjua yule Ex girlfriend wa msanii Davido kutoka Nigeria anayejulikana kwa jina la Nish Kards ambaye yeye ni mwenyeji kutoka Ghana  ambaye jina lake la utani naitwa Kim K wa Ghana nazidi kuwachanganya wanaume na picha zake huko insta hizi ni Sexy Photos zake ambazo hujawahi kuziona tirika nazo hapa 



davidos ex girlfriend nish kards  


davidos ex girlfriend nish kards  


davidos ex girlfriend nish kards  


davidos ex girlfriend nish kards  


davidos ex girlfriend nish kards  


davidos ex girlfriend nish kards  


davidos ex girlfriend nish kards  


davidos ex girlfriend nish kards  


davidos ex girlfriend nish kards  


davidos ex girlfriend nish kards  


 davidos ex girlfriend nish kards   


 davidos ex girlfriend nish kards -  

Posted on 5:22 AM by Unknown

No comments