
Mwanamitindo Flaviana anayewakilisha vizuri Tanzania kwenye mashindo makubwa ya urembo, Novemba mwaka jana yaani 2014 alichumbiwa na mtanzania ambaye bado hatujamjua lakini pale mtakapopata taarifa zake nitakuwekea hapa,
Kupitia kipindi cha XXl kinachorushwa na kituo cha utangazaji cha Clouds Fm...