Thursday, March 19, 2015

Mwanamuziki Kamikaze Amefunguka kuhusu Kumnyang'anya Demu Bob Junior na Video iliyovuja akiwa na Mrembo Sabby Chumbani Huku Mrembo huyo ambae ni Demu wa Bob Junior Akijinadi Kwa kumwita Kamikaze Baby na kusema wako vacation:

 Angalia Hapa Chini Udaku TV Inakuletea Umbea Huo Wote: 

Posted on 11:50 AM by Unknown

No comments

Wednesday, March 18, 2015

mwanafunzi wa chuo achapwa kofia na kupofuka macho


Kabla ya January 29 mwaka huu macho ya msichana huyu yalikuwa kama kawaida ambapo aliweza hata kupiga picha na marafiki zake lakin hujafa hujambika sasa hivi ni kipofu baada ya kupata balaa kutoka katika chuo anachosoma mwanafunzi huyo. 


Siku ya Jumapili ndiyo siku iliyobadilisha maisha ya msichana huyu ambapo alichapwa kofi na Funke Fashina mwenye cheo cha secretary wa principal kutoka katika chuo anachosoma msichana huyu. Siku ya Tukio Secretary huyo alikuwachukua mabinti hao na kuwapeleka katika moja ya vyumba ambavyo havina watu ghafla akamcha kofi msicha mmoja kisha kuwamalizia wote kwa makofi

Kwa mujibu wa ripoti ya madaktari msichana huyo hatoweza kuona tena kwa jicho lake la kulia na polisi wa Nigeria wanaendelea kufuatia tukio hilo na haya ni maelezo ya msichana huyo



“On Thursday, January 29, students were having an Agriculture class, so those of us offering Food and Nutrition left the class and three of us went to stay in one of the rooms in the building.

“We saw our teacher from the window of the room so we wanted to step out to go and meet her. As we were about to leave the room, we saw the secretary to the Principal, Mrs Funke Fasina. She asked us what we were doing in that room but before we could explain, she slapped us one after the other.

“By the time I got home, my left eye had turned red and painful. I told my mother what happened but she dismissed me, saying that I would not have been slapped if I didn’t do something wrong. On Monday February 9, my mother followed me to school and the principal asked my mother to take me to the hospital.

“We went to Catholic Hospital, Eleta, Ibadan and we were told to do the scan of the eye. By then, my eye had become bulgy and I was no longer seeing clearly. We went to St. Gregory’s Ultrasound Centre, Yemetu. From there, we went to the University College Hospital, Ibadan and I was told that I would undergo surgery. We were told to bring N300,000 as deposit. My parents have reported the case at the police station in Alakia Adelubi and the woman admitted that she slapped me.”

Huyu Secretary anastahili Adhabu kwa kweli.

Posted on 4:37 PM by Unknown

No comments

List ya polisi warembo zaidi kutoka katika nchi tofauti zaidi leo ikiwa ni zamu ya Nigeria.Ule msemo wa Blessed Nigeria umejihidhirisha baada ya picha za mapolisi wazuri kuliko wote kuvuja kwenye mitandao ya kijamii ya Nigeria na hizi ndizo picha zao sasa


Kama ni hivyo nafikiri Nigeria watakuwa wametisha zaidi picha zingine zinaendelea hapa chini shuka nazo.






 







Posted on 4:21 PM by Unknown

No comments

Mwanaume huyo ambaye jina lake halisi nin Joseph Masikati na mkewe ni Gloria Mangwanya ambapo walivishana pete ya uchumba na kwenye maporomoko ya maji jijini harare ambapo sherere ilihudhuruwa na wazazi wa pande zote mbili na baada ya kufunga ndo Gloria alikuwa na haya ya kusema

“I am proud of myself and I value myself that is why I waited for years to meet someone who also fears God and Joseph is the one, Yes we are both virgins and it is the fear of the Lord that kept me away from being tempted to defile my body before marriage. It’s like you reap what you sow and I am proud that my prayers directed Joseph wh also fears God to meet me and today we tied the know before our families and the church,” 


Hizi ni baadhi ya picha zao siku ya harusi yao













Joseph nae akiwa kama kichwa cha famila hakukosa cha kuongea alikuwa na haya ya kusema 


” above everything, I respect the word of God ad that worked in me to the extent of not being tempted to marry outside my country. I had the opportunity to marry in DC but God gave me a culture to follow, a woman good for me, who speaks my mother’s language and Gloria is the one who, like me, kept herself holy and we are ready for a honey moon,”

Unaambiwa hata Pastor wa kanisani kwao aliwapongeza sana kwa kuchukua uamuzi waliouchukua ingawa ina ugumu wake kutokana na kuwa na msimamo mkali pia kupitia vishawishi vingi sana 


Sijui kama kibongo bongo itakuwaja kutokea maana ni maajabu ingawaje wapo lakin sio kufikia umri kama alionao huyu jamaa ni mkubwa sana, Ukimwi unaua.

Posted on 4:11 PM by Unknown

No comments

Chris Brown siku ya Jana alipata ugeni wa hali juu baada ya mtoto anayesemakana ni wake mwenye umri wa miezi 9 akiwa na mama yake kuja kumwona msanii huyo ambaye stori zinavuma kwama ni mtoto wa Chris Brown.  

 

Kwa mujibu wa mtandao wa TMZ, familia hiyo ilichukuliwa na gari aina ya limo mpaka kwenye hotel ya Houston ambayo staa Chris alikuwa amefikia pamoja na wenzake, picha zinaendelea hapo chini.





Posted on 4:05 PM by Unknown

No comments

http://old.hulkshare.com/dl/on4anrml70n4/Kala%20jeremiah%20ft%20roma%20-%20nchi%20ya%20ahadi___djmwanga?d=1

Posted on 3:43 PM by Unknown

No comments

http://old.hulkshare.com/dl/opbx0f0m914w/Tunda_Man_%26_Matonya_-_Ugomvi.mp3?d=1

Posted on 3:33 PM by Unknown

No comments

https://mkito.com/song/msifie-wife/13587/bwi-1-27135

Posted on 3:29 PM by Unknown

No comments

http://old.hulkshare.com/dl/35z2nli83i8w/IBRA_FT_MUBANDA_-_REAL_LOVE_RMX.mp3?d=1


https://www.youtube.com/watch?v=8jplupIma68&feature=youtu.be
 

Posted on 3:20 PM by Unknown

No comments

Monday, March 16, 2015

Muhailiki kutoka Kenya Huddah Monroe amechafua hali ya Hewa Baada ya Kupost Picha akiwa na mwanaume anayeshilia makalio na matiti yake na kwa muonekano wa picha ilikuwa ni kwenye kipindi fulani 







Kwenye Instagram yake aliandika hivi 

The best moments in life are the ones you can't explain!....You Aint Getting Face! ....Chill Dont Jealous A N!gga-Huddah

Posted on 5:40 PM by Unknown

No comments

Mwanamuziki Diamond Platnumz Amejikuta katika wakati mgumu Baada ya Tatizo la Mguu lilikuwa likimsumbua kwa miaka miwili kufikia hatua mpaka kufanyiwa upasuaji kuokoa mguu wake usikatwe..Diamond alipelekwa Hospitali ya TMJ baada ya maumivu kuzidi na baada ya kufanyiwa uchunguzi aligundulika na Ugongwa unaitwa FOOT CORN ama Kisahani kwenye Goti ..Ambapo Daktari alisema ni Ugonjwa mbaya sana ambao usipotibiwa haraka hulazika mgonjwa kukatwa Mguu..Diamond amefanyiwa upasuaji na kuondoa Tatizo hilo katika Mguu wake ..

Angalia Video Hapa chini Akiwa Katika Chumba cha Upasuaji:

Posted on 5:19 PM by Unknown

No comments

Mwanamuziki Kamikaze amezidi kupigilia msumari beef aliyonalo na Bob Junior kwa kumchukulia Demu..Demu huyo mwigizaji wa Bongo Movies anayejulikana kwa Jina la Sabby amenaswa sehemu mbali mbali akijivinjari na Mwanamuziki Kamikaze huku Bob Junior akiachwa kwenye mataa.. Picha na Video wakiwa faragha zimevuja mtandaoni zikionesha mahaba makubwa kati yao .... Angalia Video Hapa ujionee.....

Posted on 4:48 PM by Unknown

No comments

https://mkito.com/song/down-low/8221/bwi-1-27076

Posted on 4:10 PM by Unknown

No comments