Friday, March 6, 2015

Staa wa miondoko wa RnB Steve RnB ameachia video yake mpya ya nyimbo yake mpya inayojulikana kwa jina la Pole Pole akiwa imefanywa na Producer C9....

Posted on 6:43 AM by Unknown

No comments

Today, Facebook gave Page owners a heads up about an upcoming change that’s going to cause a drop in Page likes. The company is going to change the way likes are counted in order to deliver more accurate data. So don’t worry, your audience hasn’t suddenly abandoned you, chances are the likes you’re about to lose hold little value anyway....

Posted on 6:37 AM by Unknown

No comments

Whatssap yanendelea kutoka sasa ni zamu ya bint kuomba aolewe na mwanaume baada ya kuona maisha ya chuo ni magumu sana.   Mwanafunzi huyo ambae anasoma moja ya chuo maarufu sana hapa jijini amejirokodi na kuachia Video hiyo huku akidai kwamba hataka kusoma na yuko tayari kuachia penzi bila ya kodi kwa mwanaume aliyoko tayari kumuoa   ...

Posted on 6:29 AM by Unknown

No comments

Baada ya fan mkubwa wa Rapper Wiz Khalifa anahitaji mwanamke mwenye Vigezo gani lakin cha ajabu Wiz amesema mwanamke mwenye shepu orijino sio ya kufanyiwa Upasuaji yaani  'natural ass please' kwa kauli hii je Wiz ametupa Dongo kwa Amber Rose au naona Vibaya? ...

Posted on 6:24 AM by Unknown

No comments

...

Posted on 5:56 AM by Unknown

No comments

&nb...

Posted on 5:52 AM by Unknown

No comments

...

Posted on 5:48 AM by Unknown

No comments

Thursday, March 5, 2015

Hiyo ni Picha ya Msichana ambayo siku ya jana imesambaa sana mitandaoni... Inasemekana alipita maeneo ya Sinza akiwa amevaa kinguo kifupi ambacho kilivuta hisia za wanaume  wakware na kuanza kumzonga zonga wakitaka kumvua kabisa kimini hicho huku wengine wakimchoma vidole sehemu zake za siri. Kwa bahati nzuri alitokea  boda...

Posted on 2:52 PM by Unknown

No comments

Rapper maarufu kwenye headlines za dunia, Drake aliotewa kwenye hizi picha na Mapaparazzi huko Australia akiwa na mrembo ambae inaaminika ndio girlfriend wake mpya. Mrembo anaitwa Bernice Burgos mwenye umri wa miaka 34 ambae ana asili ya Puerto Rico na ni model/video queen aliyetokea kwenye video kadhaa kama Work Out ya J. Cole na ‘Diced Pineapples’...

Posted on 2:23 PM by Unknown

No comments

Mmiliki wa kampuni ya kutengeneza kompyuta ya Microsoft, Bill Gates.Bwanyenye mmiliki wa kampuni ya kutengeneza kompyuta ya Microsoft , Bill Gates, ndiye tajiri nambamoja duniani kwa mwaka wa pili mfululizo.Kwa mujibu wa takwimu za jarida la Forbes ambalo huchapiShwa mara moja kila mwaka, Bill Gates ameorodheshwa kumiliki zaidi ya dola bilioni 79.2.Mfanyibiashara...

Posted on 2:16 PM by Unknown

No comments

Audio ya single mpya ya mwanadada Snura, amemshirikisha Ney Wa Mitego. Wimbo unaitwa ‘HAWASHI’, bonyeza play uisikie na kusoma lyrics za wimbo huo.  kama kifaa chako hakina uwezo bonyeza hapa ...

Posted on 2:10 PM by Unknown

No comments

...

Posted on 1:53 PM by Unknown

No comments

...

Posted on 1:46 PM by Unknown

No comments

...

Posted on 1:39 PM by Unknown

No comments

&nb...

Posted on 1:24 PM by Unknown

No comments