Saturday, March 14, 2015

pastor
Matukio ya watumishi wa Mungu kukutwa na skendo za udhalilishaji imekua ikitokea, kama ikitokea huwa inakuwa stori ambayo watu wengi wanazipa attention yani.. Stori ya hivyo inapewa uzito zaidi kutokana na kwamba inakuwa ishu ambayo inahusisha watumishi wa nyumba za ibada.

Nna hii stori kutoka Nigeria, Mchungaji mmoja kaamua kumuandikia mke wake talaka kutokana na kugundua kuwa mke wake ana uhusiano na mchungaji mwenzake ambaye ni rafiki yake wa karibu pia.
Mchungaji Jack aliiambia Mahakama ya Lagos, Nigeria kwamba aligundua uhusiano wa mkewe Kate na mchungaji huyo baada ya kuhama nyumba ambayo walikuwa wakiishi wote tangu mwaka 2011 na hajawahi kurudi tena.
Hata hivyo Kate hakuhudhuria Mahakamani hapo, kuna ripoti zinazosema kwamba mwanamke huyo amefanya kama kususia kuhudhuria kesi hiyo Mahakamahi ambapo Mahakama imetoa amri aandikiwe barua ya kuitwa tena kwenye kesi itakayosikilizwa March 23.

Posted on 7:53 PM by Unknown

No comments


Polisi wamemkamata moza kwa kudaiwa kumdhalilisha mtangazaji wa kituo TV1 ezden jumanne...uchunguzi ukikamilika ataburuzwa mahakamani muda wowote...moza aliyekuwa mpenzi wa ezden na kuachwa alimrecord video hiyo kipindi cha mahusiano yao...moza alikamatwa na kuwekwa mahabusu oysterbay polisi....ezdee alisema mimi ni mtu ninayejiheshimu so kitendo alichokifanya hakunitendea haki na amenidhalilisha...moza amedaiwa kufanya hivyo baada ya kuachwa ili kumkomoa dida...mwisho wa kunukuu.....INASEMEKANA MOZA KAMUANGUKIA EZDEE KUMUOMBA SAMAHANI NA YAMEISHA SIJUI........MIMI BINAFSI NASEMA HIVI HAKUNA ASIYEJUA MITANDAONI WASICHANA NDIO WANAONGOZA KWA KUDHALILISHWA KWA KURECORDIWA AU KUPIGWA PICHA CHAFU...SIWEZI KULAUMU MOJA KWA MOJA ZINAPOTOKEA PICHA CHAFU ZA MTU SABABU WENGINE WANARECORDIWA AU KUPIGWA PICHA WAKIWA HAWANA TAARIFA KAMA HIVYO EZDEE HAKUWA NA HABARI SO MTU AKIPANIA ANAKUFANYIA TU UBAYA....SASA IFIKE WAKATI WASICHANA MJITAMBUE USIKUBALI KUPIGWA PICHA YA UTUPU HATA UKIGUNDUA UMEPIGWA BILA KUJIJUA KAMSHITAKI FASTA MUHUSIKA AWE BADO MPENZIO AU MMEACHANA PELEKA POLISI FASTA MTU ANAYEKUPENDA HAWEZI KUKUFANYIA HIVI....HATA KAMA MMEACHANA HANA HAKI YA KUKUDHALILISHA HIVYO...MMEONA WANAUME WALIVYO NA MSIMAMO??....MKIWA WAOGA MTAENDELEA KUSHIKA RECORD YA KUDHALILISHWA....

Posted on 7:34 PM by Unknown

No comments


Staa  aliyejipatia umaarufu mkubwa kutokana na makalio yake, Agnes Gerald ‘Masogange’ sasa amepaa kimataifa zaidi na kuwa  gumzo hadi Marekani baada ya hivi karibuni mtandao mmoja wa watu maarufu nchini humo kumpa shavu.
Masogange aliripotiwa na mtandao wa Media Take Out na kumuelezea kuwa ni staa mwenye makalio makubwa barani Afrika akitokea Tanzania.Mbali na maelezo kibao ya kusifia wowowo lake, mtandao huo uliposti picha kibao za mwanadada huyo ambaye sasa anaishi Afrika Kusini akiweka mapozi tofauti ya kimitego.. Baada ya Mtandao huo Mkubwa kumuandika Mitandao mingine mikubwa ya Nigeria Kama Aquavibes nao walimuandika


Hata hivyo, baadhi waliponda maelezo hayo kwa kusema kuwa, Afrika ina mabinti wenye maumbo tata kuliko Masogange hivyo mtandao huo ungefanya uchunguzi kabla ya kuripoti habari hiyo.

Posted on 7:27 PM by Unknown

No comments

https://www.youtube.com/watch?v=1fLvX1NPdFc&feature=youtu.be
 

Posted on 6:31 PM by Unknown

No comments

http://old.hulkshare.com/dl/5a1gpn9dpf9c/DISTRICT_9_Ft_MISS_RIZZY_-_ON_MY_SHIT_%28RAW%29.mp3?d=1

Posted on 6:23 PM by Unknown

No comments

https://www.youtube.com/watch?v=dLjZdc0h_0I
 

Posted on 6:17 PM by Unknown

No comments

http://old.hulkshare.com/dl/mmd3jprrucjk/Amini_ft_Namcy_vanna_%E2%80%93_Nabaki_nae.mp3?d=1

Posted on 6:11 PM by Unknown

No comments

http://old.hulkshare.com/dl/enlwrlbx2vwg/B_Gway_Ft_Mesen_-_Mpera_Mpera.mp3?d=1

Posted on 6:04 PM by Unknown

No comments

http://old.hulkshare.com/dl/orjfmiqnxkow/Ommy_Dimpoz_-_Wanjera__DJMwanga.com.mp3?d=1

Posted on 5:43 PM by Unknown

No comments

Posted on 5:34 PM by Unknown

No comments

http://old.hulkshare.com/dl/4qlkse7kozeo/DJ_Choka_ft._Young_Lunya%2C_Country_Boy%2C_Deddy%2C_Climax_Bibo______%26_Bgway_-_NITALALA_UZEENI.mp3?d=1

Posted on 5:28 PM by Unknown

No comments

https://mkito.com/song/kizubaneta/13435/bwi-1-26953

Posted on 5:20 PM by Unknown

No comments

 

Posted on 5:18 PM by Unknown

No comments

http://old.hulkshare.com/dl/el244z41b9xc/Linex_Ft._Diamond_-_Salima___DJMwanga.com.mp3?d=1

Posted on 5:13 PM by Unknown

No comments

http://old.hulkshare.com/dl/v1vyhy707lds/GK_ft._Vanessa_Mdee%2C_Rawdgers_%26_Hoox_-_Shukran.mp3?d=1

Posted on 5:07 PM by Unknown

No comments

http://old.hulkshare.com/dl/34qie2axktpc/C_sir_madini_-_Sina_dhaman.mp3?d=1

Posted on 5:01 PM by Unknown

No comments

http://old.hulkshare.com/dl/s1s9rhm21mgw/BONTA_-_MAUWONGO.mp3?d=1

Posted on 4:56 PM by Unknown

No comments

Tuesday, March 10, 2015

Baada ya Rapper Wiz Khalifa Kutoa picha za nyumbani kwa Amber Rose zikionyesha jinsi uchafu uliokithiri nyumbani kwa mama wa mtoto wake wiki hii Staa Amber ameoneka katika jiji la Loss Angeles huku akitafuta baadhi ya Vifaa vya nyumba lakin kivazi alicho kivaa kinaonyesha dhahiri kuwa alikuwa akiwanda wanaume kama ilivyonukuliwa na moja ya mitandao mikubwa Marekani 

amber rose  


Licha ya Wiz Khalifa kutoa picha za nyumba ya Amber, Amber amemkata mtalaka wake Wiz Khalifa kumwona mwanae kabisa na hata siku ya Birthday ya mtoto hyo Wiz alikataliwa kuingia ndani huku Birthday hiyo ikipambwa na mama wa Mtoto pamoja na Black Chyna.


Amber Rose

Posted on 5:50 PM by Unknown

No comments


Posted on 4:48 PM by Unknown

No comments

Baghdad, Chibwa, Climax Bibo, FIDODIDO, Jokeri, Hydari Scoda & O-KEY GHETTOCHILD

Posted on 4:41 PM by Unknown

No comments


Posted on 4:32 PM by Unknown

No comments

Posted on 4:28 PM by Unknown

No comments

http://old.hulkshare.com/dl/dr5zao482pkw/Quick%20rocka%20(switcher)%20-%20all%20of%20me?d=1

Posted on 4:14 PM by Unknown

No comments


Posted on 4:08 PM by Unknown

No comments